Saturday 7 September 2013

HAYA NDIYO MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?

 
Hii ni shule ya Msingi Majahida iliyopo nje kidogo ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu ambapo nusu ya wanafunzi wake hukalia mawe madarasani kutokana na uhaba mkubwa wa madawati shuleni hapo.

Wilaya ya Bariadi inaongoza nchini kwa kuzalisha pamba asilimia 60, pia ina rasilimali ya madini pamoja na mifugo ya aina mbalimbali.

No comments:

Post a Comment